• Breaking News

    ..

    ..

    Sunday, 8 October 2017

    Trump: Ni kitu kimoja tu kitafanya kazi dhidi ya Korea Kaskazini

    Donald Trump and Kim Jong-un
    Trump: Ni kitu kimoja tu kitafanya kazi kwa Korea Kaskazini

     

    Korea Kaskazini inasema kuwa imefanikiwa kulifanyia jaribio bomu la haidrojeni ambalo linaweza kubebwa na kombora la masafa marefu.
    Awali Trump ameonya kuwa Marekani itaiharibu Korea Kaskazini ikiwa itahitajika kujilinda pamoja na washirika wake


    A passer-by looks at a TV screen reporting news about North Korea's missile launch in Tokyo (15 September 2017)
    Kiongozi wa Korea Kaskazini siku ya Jumamosi alisifu silaha za nyulia kama kitu cha nguvu kinachoipa nchi yake ulinzi.
    Hivi majuzi Korea Kaskazini ilirusha makombora kupitia anga ya Japan na kupuuza vikwazo vya kimataifa na kufanya jaribio lake la sita ya nyulia mwezi Septemba.
    Imetangaza kuwa ifanya jaribio lingine katika bahari ya Pacific

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI