Mufti Zubeir amesema hayo kwenye mkutano uliofanyika leo (Jumapili) katika makao makuu ya bakwata yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mufti amesema kupitia sensa hiyo BAKWATA itaweza kupanga vyema mipango yake ya maendeleo pindi idadi halisi ya waislamu itakapojulikana.
chanzo ITV
No comments:
Post a Comment