• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 9 October 2017

    WAZIRI DK. FAUSTINE NDUGULILE AANZA KAZI

    nd1
    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Faustine Ndugulile akisaini kitabu baada ya  kupokewa na wafanyakazi mbali mbali kutoka Wizara ya Afya baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
    nd2
    Picha ya pamoja ya Viongozi Wakuu wa Wizara ya Afya  Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ikiongozwa na Waziri wa Afya  Mh. Ummy Mwalimu (wakatikati), Naibu Waziri Dkt. Faustine Ndugulile wakwanza kushoto na Katibu Mkuu wa Wizara Dkt. Mpoki Ulisubisya wa mwisho kulia.
    nd3
    Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Mh. Ummy Mwalimu akimtambulisha Naibu Waziri wa wizara hiyo Dkt. Faustine Ndugulile muda mfupi baada ya kuapishwa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
    nd4
    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Faustine Ndugulile akisaini kitabu muda mfupi baada ya baada ya kuapishwa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es salaam kulia ni Ummy Mwalimu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
    nd6
    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Faustine Ndugulile akilakiwa na wafanyakazi wa wizara hiyo huku akiwa ameongoza na  Waziri Ummy Mwalimu baada ya kuwasili wizarani hapo.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI