• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 23 November 2017

    Tamasha la Tigo Fiesta kufanyika Jumamosi Jijini Dar

     Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo Fiesta siku ya jumamosi viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam leo mchana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Tigo Fiesta, Sebastian Maganga na wengine ni wasanii.

    Msanii Ben Pol akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kiume

     Msanii Vanessa Mdee akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kike

     Msanii Barnaba akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo

    Mdau akipata picha na msanii Vanessa

    Wasanii Aslay na Rich Mavoko wakisalimiana jna wafanyakazi wa duka la Tigo Mlimani city walipotembelea duka hilo leo mchana

    Msanii Barnaba akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo

    Mkurugenzi mkuu wa Tigo Tanzania Simon Karikari akisalimiana na msanii Vanessa Mdee

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI