• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday 29 November 2017

    Tumefunga dirisha la usajili – Jaffar Idd

    Uongozi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umesema kuwa kwa sasa hautasajili wachezaji wengine ndani ya kikosi hicho baada ya kumalizana na Mghana, Bernard Arthur aliyesaini mkataba wa miaka miwili.

    Msemaji wa klabu hiyo, Jaffar Idd amesema: “Kwa sasa nTumefunga usajili kwenye kikosi chetu hatutasajili mchezaji mwingine nafasi zimeja.”
    “Tumemuongeza mkataba kiungo wetu, Steven Kingue Mpondo raia wa Cameroon.”
    Dirisha la usajili lilifunguliwa Novemba 15 na kutarajiwa kufungwa mwezi ujao

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI