Uongozi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umesema
kuwa kwa sasa hautasajili wachezaji wengine ndani ya kikosi hicho baada
ya kumalizana na Mghana, Bernard Arthur aliyesaini mkataba wa miaka
miwili.
Msemaji wa klabu hiyo, Jaffar Idd amesema: “Kwa sasa nTumefunga usajili
kwenye kikosi chetu hatutasajili mchezaji mwingine nafasi zimeja.”
“Tumemuongeza mkataba kiungo wetu, Steven Kingue Mpondo raia wa Cameroon.”
Dirisha la usajili lilifunguliwa Novemba 15 na kutarajiwa kufungwa mwezi ujao
No comments:
Post a Comment