• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 18 December 2017

    CCM wamnyaka Rose Muhando

    Muimbaji wa nyimbo za Injili, Rose Muhando leo amejiunga na Chama Cha Mapinduzi mbele ya Mkutano Mjuu wa 9 wa chama hicho.
    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho wa Ndg, Humphrey Polepole amethibisha hayo wakati akimkaribisha Muimbaji huyo katika ukumbi huo kutoa burudani.
    "Mh. Mwenyekiti wa muda , ndugu yetu Rose Muhando pamoja na kundi lake wamekuja na maombi mawili, moja ni kuimba wimbo maalumu kwa ajili ya Rais lakini ombi la pili ni kujiunga na CCM, hivyo wataimba alafu watazungumza kisha nitawakabidhi kwa Makatibu kwa ajili ya utaratibu" Polepole

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI