
Hayo yameelezwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoani wa Kagera Dkt. John Mwombeki baada ya kupokea msaada vifaa mbalimbali ambavyo hutumiwa na watu wanaojitokeza kujitolea damu.

Msaada wa vifaa vinavyotumika wakati wa kutoa damu umetolewa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kukiimarisha kitengo cha damu safi na salama cha hospitali hiyo ili kiweze kukusanya damu nyingi itayokidhi mahitaji ya wagonjwa
No comments:
Post a Comment