• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 7 December 2017

    Dk Salim Atoa Neno Juu Ya Mgogoro Wa Palestina Na Israel

    Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza na Kamati ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina katika mgogoro wao na taifa la Israel ilipomtembelea ofisini kwake.

    Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza na Kamati ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina katika mgogoro wao na taifa la Israel ilipomtembelea ofisini kwake. Wengine ni wajumbe wa kamati hiyo.

    Wajumbe wa Kamati maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina wakiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim.

    Sehemu ya wajumbe wa Kamati maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina wakiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim.

    Wajumbe wa Kamati maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina wakimkabidhi Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim (wa pili kulia) kitabu cha picha za historia ya Waparestina na mgogoro huo.

    Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim (wa pili kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Wajumbe wa Kamati maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina mara baada ya mazungumzo.

    Wajumbe wa Kamati maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) inayotetea haki za msingi za Wapalestina wakimkabidhi Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim (wa pili kulia) kitabu cha picha za historia ya Waparestina na mgogoro huo.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI