
Wateja watakao nunua Phantom 8, Camon Cx & Cx Air, TECNO spark, Spark + ,wataingia/utaingia kwenye bahati nasibu na kujishindia Tiketi ya basi kwenda mikoa mbalimbali kuungana na familia zao/yako bila kusahau kuponi maalum za chakula ,tiketi za sinema kwa mkoa wa Dar es salaam, saa za kuvutia za mkononi na zawadi nyinginezo kemkem.
Wateja watapata punguzo la bei Tsh 20,000/= kwa atakae nunua simu janja (Smartphone) mbili kwaajili ya wapendwa wao, moja katika ya hizo simu mbili ndiyo itakayo pata punguzo la bei la Tsh 20,000/=mbalimbali
Pia kutakua na bahati nasibu ya zawadi zinginezoOfa hizi kabambe zinapatikana maduka ya TECNO mkoani Mwanza, Arusha na Dar es salaam na kutumika kuanzia tarehe 15/12/2017 mpaka 15/1/2018
No comments:
Post a Comment