• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 14 December 2017

    Mbunge wa CHADEMA, ajiuzulu na kujiunga CCM

    Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Godwin Oloyce Mollel ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho na kujiuzulu nafasi yake ya ubunge.
    Mollel ametangaza kujiuzulu ubunge wake kwa madai ya kwamba sasa anafurahishwa na uongozi wa Rais Magufuli katika kupigania rasilimali za nchi ya Tanzania, hivyo yeye hana sababu ya kuendelea kupingana tena na chama cha CCM Pia ameongeza kuwa anaungana na CCM katika kuleta maendeleo maana ameona dhamira ya kweli ya Rais Magufuli katika kuleta maendeleo. Soma zaidi barua yake

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI