Mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) David Nzarigo akipandishwa kwenye gari ya Polisi Baada ya agizo la Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh,Kangi Lugola. |
Mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) David Nzarigo
amekamatwa na serikali baada ya kukutwa na nyaraka za serikali .
amekamatwa na serikali baada ya kukutwa na nyaraka za serikali .
Mwanasheria huyo amekamatwa kwa amri ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Mh,Kangi Lugola alipotembelea Mgodi huo ambapo pamoja na
mambo mengine amebaini mgodi huo kuwa unaendesha shughuli zake bila kufuata
sheria ya mazingira .
Muungano na Mazingira Mh,Kangi Lugola alipotembelea Mgodi huo ambapo pamoja na
mambo mengine amebaini mgodi huo kuwa unaendesha shughuli zake bila kufuata
sheria ya mazingira .
Mhe. Lugola akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Wilayani Geita ameagiza kukamatwa kwa
mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa dhahabu wa Geita (GGM) David Nzogila baada ya kukutwa na
nyaraka za serikali ambazo hazijawa rasmi kutumika kutoka taasisi ya wakala wa utafiti wa jiolojia
Tanzania(GST).
mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa dhahabu wa Geita (GGM) David Nzogila baada ya kukutwa na
nyaraka za serikali ambazo hazijawa rasmi kutumika kutoka taasisi ya wakala wa utafiti wa jiolojia
Tanzania(GST).
Hata
hivyo katika hali hisiyo ya kawaida na bila kutarajia mwanasheria huyo
aliyekuwa akiukingia kifua mgodi huo ili usikumbane na rungu la fidia
ya uharibifu wa kimazingira kama sheria
inavyotamka alijikuta akimweleza Naibu Waziri kuwa anayo ripoti ya GST aliyodai
haijaeleza iwapo mgodi huo unahusika moja kwa moja kwenye uharibifu hivyo mgodi
huo usibebeshwe mzigo huo.
inavyotamka alijikuta akimweleza Naibu Waziri kuwa anayo ripoti ya GST aliyodai
haijaeleza iwapo mgodi huo unahusika moja kwa moja kwenye uharibifu hivyo mgodi
huo usibebeshwe mzigo huo.
Kutokana
na hali hiyo,Naibu Waziri Lugola aliomba apatiwe riporti hiyo ili
ajiridhishe lakini mwanasheria huyo akijibu kwa kujiamnini alimtaka
kiongozi huyo wa juu kutumia mbinu zake kuipata Serikalini lakini
yeye hawezi kutoa nyaraka ya serikali, jambo lililomkasirisha Naibu
Waziri wa Muungano na Mazingira na kutoa agizo la kukamatwa mara moja.
Diwani
wa kata ya mtakuja Constatine Morandi ameelezea kuwa wananchi wamekuwa
wakisumbuliwa muda mrefu na mgodi bila ya kupatiwa fidia na kwamba
kutokana na wao kuwa ndani ya bikoni kumesababisha kutokupatiwa huduma
mbali mbali za kijamii hivyo ni vyema kwa serikali wakaweka nguvu
kuwasaidia wananchi hao.
Bw Abdallah Omary-Mkazi Nyamalembo alimweleza Naibu waziri kwamba wamekuwa wakiishi
maisha ya mashaka kutokana na hali ilivyo ya maeneo hayo ya mgodini na kwamba
mgodi ulikwisha wai kuwapatia fidia ya shilingi elfu ishirini jambo ambalo
limeonekana kuwa ni udhalilishaji kwani pesa hiyo ni ndogo.
maisha ya mashaka kutokana na hali ilivyo ya maeneo hayo ya mgodini na kwamba
mgodi ulikwisha wai kuwapatia fidia ya shilingi elfu ishirini jambo ambalo
limeonekana kuwa ni udhalilishaji kwani pesa hiyo ni ndogo.
Kwa
upande wake Makamu wa Rais wa mgodi huo Saimon Shayo,alisema kuwa eneo
ambalo wananchi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la fidia hadi sasa
kuna nyumba mbili na kwamba fidia ya kwanza
walilipa kiasi cha sh,Bilion Moja na waliipatia serikali iweze kuwafidia
walilipa kiasi cha sh,Bilion Moja na waliipatia serikali iweze kuwafidia
No comments:
Post a Comment