Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa
amefunguka na kusema kuwa jeshi la polisi mpaka sasa halijamkamata
Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zakaria Kakobe
kama baadhi ya taarifa zinavyosamabazwa.
"Baba Askofu Kakobe bado hatujamkamata pale atakapokuwa amekamatwa kwa makosa aliyotenda nitawaambia lakini kwa sasa hajakamatwa mchungaji huyo, jeshi la polisi huwa halipangi kumkamata mtu bali mtu anapofanya kosa la jinai ndipo anakamatwa hivyo na yeye kama amefanya kosa hili basi tutamkamata" alisisitiza Mambosasa
No comments:
Post a Comment