• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 16 January 2018

    Magufuli awakaribisha marais sita nchini

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Januari 16, 2018 amepokea hati za utambulisho wa Mabalozi sita walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini na kuwaomba mabalozi hao kuwakaribisha viongozi wa nchini zao kutembelea Tanzania.
    Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa mabalozi hao waliowasilisha hati za utambulisho ni pamoja na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Balozi wa Polanda, Balozi wa Uturuki, Balozi wa Ufaransa, Balozi wa Israel pamoja na Balozi wa Australia.


    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI