
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama
akizungumza na Balozi mpya wa China nchini Tanzania Balozi Wang Ke
alipomtembelea katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.Viongozi hao
walizungumza masuala mbalimbali ya Ushirikiano na Uwekezaji.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama
akimsikiliza Balozi mpya wa China nchini Wang Ke alipomtembelea
katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama
akifurahia jambo na Balozi mpya wa China nchini Tanzania Balozi Wang Ke
alipomtembelea katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama
akizungumza na Balozi mpya wa China nchini Tanzania Balozi Wang Ke na
Ujumbe wake leo katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama
akimkaribisha Balozi mpya wa China nchini Ofisi kwake Bungeni leo Mjini
Dodoma.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO,DODOMA.
No comments:
Post a Comment