• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 23 December 2016

    SHIRIKA LA WAMBEA DUNIANI WAJA NA MAPYA KWENYE ZIARA YA KESHO

    SHIRIKA LA WAMBEA  DUNIANI WAMEANDA ZIARA  INAYO LENGA KUWASHUKURU WATANZANIA KWA UJUMLA KWA KIPINDI HICHI CHA SIKUKUU YA KRISS MASS NA MWAKA MPYA
     Ameyasema hayo mtangazaji wa kipindi  cha shilawadu  leo jijini dar es salaam alipokua akiongea na wandishi wa habari  nia na malengo ya ziara hiyo ni kuwashukuru wananchi wanao waunga mkono  watangazaji hao 

    Hata hivyo mtangazaji wa shirika la wambea dunia alisisitiza kua katika ziara hiyo watambatana na wasani mbali mbali ili kuleta mabadiliko kwa wasanii wanao chukiana "alisema

    Ziara hii tunatarajia kuleta mabadiliko ya kipindi chetu cha shilawadu hususa tutawakutanisha wasanii mbalimbali kama vile Wema Sepetu  na wengine pamoja na wasanii wasio patana tutawapanisha "asilema Qwhisar Thomsonkwa upande mwengine mtangazaji wa kipindi cha shilawadu amewataka watanzania kuunga mkono ziara hiyo itakayofanyika nchi mzima na wale wanao hitaji kuungana na kundi la shiwadu watalipia kiasi cha elfu kumi na tano ili kushiriki kwenye mambo mbalimbali watakayo yafanya kwenye ziara hiyo.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI