• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 17 February 2017

    KAMATI YA KITAIFA YA KUKABILIANA NA MAAFA ZANZIBAR YAKUTANA KUTATHMINI KIPINDUPINDU

    ZA1
    Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya kukabiliana na Maafa Zanzibar Juma Ali Juma akifungua mkutano wa siku moja wa Kamati ya Kitaifa ya kukabilaiana na maafa katika ukumbi wa Ofisi ya chanjo Kidongo chekundu Mjini Zanzibar.
    ZA2
    Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dkt. Fadhil Mohd Abdalla akielezea mripuko wa maradhi ya kipindupindu Zanzibar yaliyodumu miezi 11 na kuathiri wananchi 4330 ambapo 68 walifariki.
    ZA3
    Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni WHO Zanzibar Dkt. Andemichael Ghirmany akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya kukabiliana na Maafa katika mkutano wa kutathmini maradhi ya Kipindupindu katika ukumbi wa chanjo Kidongochekundu.
    ZA4
    Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya kukabiliana na Maafa Zanzibar wakifuatilia mkutano uliozungumzia mripuko wa wa maradhi ya kipindupindu katika ukumbi wa chanjo Kidongochekundu.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI