• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 15 February 2017

    SERIKALI YA JAPAN YAISAIDIA TANZANIA DOLA 80,234 KUENDELEZA MCHEZO WA BASEBALL





    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe.
    Nape Nnauye (aliyesimama mbele) akiongea na Wageni waalikwa pamoja na Waandishi
    wa habari wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa kiwanja cha
    Baseball nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Japan leo 15 Februari, 2017
    Jijini Dar es Salaam.





    Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Masaharu
    Yoshida (aliyesimama mbele kulia) akiongea na Wageni waalikwa pamoja na
    Waandishi wa habari wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa
    kiwanja cha Baseball nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Japan leo 15
    Februari, 2017 Jijini Dar es Salaam.





    Mwenyekiti wa Chama cha
    Baseball Tanzania (TaBSA), Dkt. Ahmed Makata (aliyekaa kushoto mbele) akisaini
    Mkataba wa Ujenzi wa Uwanja wa Baseball, kulia ni Balozi wa Japan nchini
    Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida.Wanaoshuhudia nyuma ni Waziri wa Habari,
    Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye pamoja na Mjumbe toka Japan.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (aliyesimama nyuma) akipongeza wakati ubadilishanaji wa Mkataba kati ya Serikali ya Tanzania na Japan leo 15 Februari, 2017 Jijini Dar es Salaam.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (katikati waliokaa wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Japan, Mhe. Masaharu Yoshida pamoja na viongozi wengine mara baada ya hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa kiwanja cha Baseball nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Japan leo 15 Februari, 2017 Jijini Dar es Salaam.

    nape

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI