Joshua ambae ataingia ulingoni kuvaana na Klitschko, anaaminiwa na Tyson kuidhihirishia Dunia ni namna gani Ngumi za kimarekani zilivyo katika mpambano.
Legendari Tyson, atakuwa akilifuatilia pambano hilo kwa karibu kabisa Jumamosi ya leo. mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Wembley na itakayoshuhudiwa mubashara, Duniani kote kupitia runinga ya Michezo ya Sky Sport.
Tyson ambaye alikuwa bingwa wa dunia asiepigika katika zama zake, ana matumaini makubwa na Joshua kutwaa ushindi siku ya leo.
No comments:
Post a Comment