• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday 29 April 2017

    Karata yangu ni kwa Anthony Joshua- Mike Tyson

    Kabla ya Dunia kusimama kwa muda hii leo kupisha Mpambano wa kusisimua wa Mchezo wa Masumbwi Duniani, Legendari wa Mchezo huo Mike Tyson, amejitokeza hii leo na kuweka wazi kuwa Anthony Joshua atashinda katika pambano hilo.

    Joshua ambae ataingia ulingoni kuvaana na Klitschko, anaaminiwa na Tyson kuidhihirishia Dunia ni namna gani Ngumi za kimarekani zilivyo katika mpambano.
    Legendari Tyson, atakuwa akilifuatilia pambano hilo kwa karibu kabisa Jumamosi ya leo. mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Wembley na itakayoshuhudiwa mubashara, Duniani kote kupitia runinga ya Michezo ya Sky Sport.
    Tyson ambaye alikuwa bingwa wa dunia asiepigika katika zama zake, ana matumaini makubwa na Joshua kutwaa ushindi siku ya leo.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI