Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akizungumza na wataalamu wa Ununuzi na Ugavi katika ufunguzi wa mafunzo ya ununuzi na ugavi yanayotolewa na (PSPTB) kwa siku tano kwa wataalamu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kwenye ofisi zao zilizopo jengo la Ubungo Plaza Ubungo jijini Dar es salaam katikati ni Dr.PPascal Wahina Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) na Kaimu Murugenzi Mkuu na kulia ni Bi. Tumaini Hiluka Meneja wa Manunuzi Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
Dr. Pascal Waniha Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) na Kaimu Murugenzi Mkuu akizungumza na wataalamu hao wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo kulia ni Bi. Tumaini Hiluka Meneja wa Manunuzi Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
Baadhi ya wataalamu kutoka Mamlaka ya Hali ya hewa wakifuatilia hotuba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi hayupo pichani .
Kutoka kulia ni watoa mada katika mafunzo hayo Paul Bilabaye Mkurugenzi wa Fedha na Utawala (PSPTB) na Bw. Amos Kazinza Afisa Mkuu Utafiti na Ushauri (PSPTB)
Wataalam mbalimbali kutoka Mamlaka ya hali ya Hewa TMA wakifuatilia mada katika mafunzo hayo.
Wataalam mbalimbali kutoka Mamlaka ya hali ya Hewa (TMA) wakifuatilia mada katika mafunzo hayo
No comments:
Post a Comment