• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 6 April 2017

    SPIKA AKUTANA NA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE NA UJUMBE WAKE MJINI DODOMA


    Z
    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Mama Diana Mwakasege, Mke wa Mwalimu Christopher Mwakasege walipofika kumtembeela ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
    Z 1
    Mwalimu Christopher Mwakasege akifanya maombi kwa ajili ya Spika wa Bunge na Bunge kwa ujumla wakati alipomtembelea Spika ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
    Z 2
     Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mwalimu Christopher Mwakasege na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
    (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI