
Pamoja na hayo Kinde amedai kua atafanya vizuri zaidi katika nyimbo hiyo husaa kwa upande wa video
Amesema kua Director anaemtumia amemuhidi atatoa Kazi zake vizuri kuliko Kazi zake ambazo alizo kua akizifanywa kipindi cha nyuma
Ameyasema hayo akizngumza na Z4news Media Group visiwani Unguja
Kwa upande mwengine msanii huyo amewataka wasanii wa Zanzibar kuachana majungu na chuki kwani vitu hivyo vitawapelekea kutopanada katika masoko ya kimatiafa kimziki...
No comments:
Post a Comment