Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF amesema kuwa haki yake na ya
wananchi wa Zanzibar kwenye uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka 2015, itapatika
hivi punde na haitafika Miezi mitatu.
Maalimu Seif amesema hayo leo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam .
Maalimu seif amesema kuwa hujuma zinazoendelea ni kutaka kupoteza haki ya wananchi wa Zanzibar itakayopatikana hivi karibuni.
"Nina uhakika kabisa tena sina wasiwasi hata kidogo kuwa haki itapatikana hapa tulipofika ni mwenyezi mungu mwenyewe" amesema.
Hata hvyo maalim sefu amewataka viongozi wa Rita kuhakikisha wanatenda haki kwani wao ni tasisi inayo aminika na kusimamia
aliendelea kukazia kwa kuto fahamu uwepo wa kwenye chama Ibrahim Lipumba kwa yeye alijiudhulu siku alio agiza kuvamia wanachama wa chama cha cuf kutokan na sheria ya katiba ya chama hicho
No comments:
Post a Comment