• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 20 June 2017

    Walemavu waibana haki za binadamu

        Tasisi ya ahaki za binadamu imepokea  malalamiko makubwa ya watu wenye ulemavu kuonewa na jeshi la polisi mnamo tarehe 16-06-2017 posta,jijini dar-es-salaam.

         Hivyo basi watu hao wenye ulemavu ambao walikuwa ni waendeshaji wa bajaji walionewa kwa kupigwa na baadhi ya wanawake kudhalilishwa kwa kiasi kikubwa kwa jeshi hilo kutumia nguvu kubwa kuzuia mgomo huo, ivyo basi mheshimiwa Anna  Henga ''amesema ya kuwa '' tunasikitishwa na kulahani vikali,vitendo vya unyanyasaji kama ivyo.
     Tena aliongea kwa msisitizo mkali sana.Hivyo basi wametoa takwimu ya vifaa vilivyo potea na kualibiwa na jeshi hilo,zimealibiwa bajaji 30na kupotea simu pamoja na pesa,pia fidia kwa waathilika walolipoti kupotelewa na mali zao kutokana na shambulizi hilo.na muandishi VABY AZRAH Z4NEWS

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI