Waziri wa Biashara Viwanda na
Masoko Balozi Amina Salum Ali akizungumza na Waandishi mara Baada ya
kuzinduwa Baraza la Wazalishaji katika Hoteli ya Grand Palace malindi
Mjini Unguja.
Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara
wenye Viwanda Kilimo na Utalii(ZNCCIA)Taufiq Tourky akizungumza na
Waandishi wa Habari mara baada ya Kuzinduliwa kwa Baraza la Wazalishaji
lililofanyika katika Hoteli ya Grand Palace malindi Mjini Unguja.(PICHA
NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment