
Meneja Mwandamizi wa TANESCO Kanda ya Dar es
Salaam na Pwani, Mhandisi Mahende Mgaya, (watatu kushoto), akimpatia maelezo ya
maendeleo ya ujenzi wa kituo cha umeme cha Kigamboni, Naibu Waziri wa Nishati
na Madini, Dkt. Medard Kalemani, (wapili kushoto)
maendeleo ya ujenzi wa kituo cha umeme cha Kigamboni, Naibu Waziri wa Nishati
na Madini, Dkt. Medard Kalemani, (wapili kushoto)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Dkt. Tito Mwinuka, (kulia), akiwa na Msaidizi
wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO anayeshughulikia miradi, Mhandisi Khalid
James, (kushoto), akiongea na waandishi wa habari.
wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO anayeshughulikia miradi, Mhandisi Khalid
James, (kushoto), akiongea na waandishi wa habari.



No comments:
Post a Comment