• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 24 August 2017

    Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Azungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mzee Wasira leo

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na jumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Stephen Wasira alipofika leo ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo 
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Stephen Wasira leo ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI