KESI inayomkabili mfanyabiashara na
aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, imeahirishwa leo
hadi Agosti 22 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kusomewa
maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi, Cyprian Mkehe.
..

Thursday, 10 August 2017
Habari
Maelezo hayo yalisomwa na wakili wa
serikali, Timon Vitalis, yalihusu utambulisho wa jina lake kamili, kazi
anayofanya, tarehe aliyokamatwa, alivyopelekwa kwa mkemia na
alivyopekuliwa nyumbani kwake. Katika kesi hiyo Manji anawakilishwa na
wakili Alex Mgongolwa
No comments:
Post a Comment