• ..

    ..

    Thursday, 10 August 2017

    UPINZANI KENYA MATUMBO JOTO


    1. Tume ya Uchaguzi inaendelea kupokea Fomu 34A za matokeo ya urais kutoka vituoni
    2. Matokeo ya awali yanaonesha Rais Kenyatta anaongoza akiwa na kura 8 milioni. naye Bw Odinga ana kura 6.6 milioni. 
    3. IEBC imesema mitambo yake haidukuliwa, kinyume na madai ya muungano wa upinzani Nasa
    4. Jumanne kulitokea vurugu katika baadhi ya maeneo mtaa wa Mathare, Nairobi na baadhi ya maeneo Kisumu. Lakini kwa sasa hali ni tulivu
    5. Waziri wa usalama Fred Matiang'i amewaomba wananchi kuendelea na shughuli za kawaida bila wasiwasi
    6. Katika barabara za Nairobi magari yameanza kuonekana lakini bado hali ya kawaida haijarejea

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI