- Tume ya Uchaguzi inaendelea kupokea Fomu 34A za matokeo ya urais kutoka vituoni
- Matokeo ya awali yanaonesha Rais Kenyatta anaongoza akiwa na kura 8 milioni. naye Bw Odinga ana kura 6.6 milioni.
- IEBC imesema mitambo yake haidukuliwa, kinyume na madai ya muungano wa upinzani Nasa
- Jumanne kulitokea vurugu katika baadhi ya maeneo mtaa wa Mathare, Nairobi na baadhi ya maeneo Kisumu. Lakini kwa sasa hali ni tulivu
- Waziri wa usalama Fred Matiang'i amewaomba wananchi kuendelea na shughuli za kawaida bila wasiwasi
- Katika barabara za Nairobi magari yameanza kuonekana lakini bado hali ya kawaida haijarejea
..

Thursday, 10 August 2017
Habari
No comments:
Post a Comment