• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 8 September 2017

    Venus Williams atupwa nje nusu fainali US Open

    Mchezaji tenis raia wa Marekani, Sloane Stephens ametinga hatua ya fainali ya mashindano ya wazi ya Marekani ‘US Open’ baada ya kumshinda,Venus Williams  katika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo.

    Mchezaji tenis raia wa Marekani, Sloane Stephens(kulia), na Venus Williams(kushoto)

    Stephens mwenye umri wa miaka 24 amefanikiwa kumtoa Williams kwa jumla ya seti 6-1 0-6 7-5  na hivyo kuungana na Madison Keys ambaye naye ametinga hatua hiyo kwa ushindi wa seti 6-1 6-2 dhidi ya CoCo Vandeweghe.

    Mchezaji tenis Madison Keys
    Marekani yaingiza wanawake wanne nusu fainali US Open
    Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa Marekani kuingiza wanawake wanne katika hatua ya nusu fainali ya michuano mikubwa tangu walivyofanya hivyo mwaka 1985.

    Jiunge na Www.Z4nesblog.blogspot.com sasa

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI