Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kwa mara nyingine
amewazungumzia mastaa wake wawili, Alexis Sanchez na Mesut Ozil kwa
kusema kuwa wataendelea kuichezea timu hiyo hadi mwisho wa msimu na
kusisitiza kuwa hana mpango wa kuwauza Januari, mwakani.
Kumekuwa na taarifa kuwa wachezaji hao wanaweza kuondoka kwa kuwa mikataba yao inaelekea ukingoni na hawajafikia makubaliano ya kusaini mikataba mipya, ili kuokoa fedha, ilielezwa kuwa Arsenal ingewauza karika usajili wa dirisha dogo la Januari, mwakani.
“Kichwani mwangu wataendelea kubaki hapa hadi mwisho wa msimu, labda kama kuna kitu cha ajabu kitatokea.
“Kumekuwa na taarifa nyingi, je wataendelea kubaki hapa kwa muda mrefu? Hilo ni swali gumu kulijibu kwa sasa,” alisema Wenger.
Kumekuwa na taarifa kuwa wachezaji hao wanaweza kuondoka kwa kuwa mikataba yao inaelekea ukingoni na hawajafikia makubaliano ya kusaini mikataba mipya, ili kuokoa fedha, ilielezwa kuwa Arsenal ingewauza karika usajili wa dirisha dogo la Januari, mwakani.
“Kichwani mwangu wataendelea kubaki hapa hadi mwisho wa msimu, labda kama kuna kitu cha ajabu kitatokea.
“Kumekuwa na taarifa nyingi, je wataendelea kubaki hapa kwa muda mrefu? Hilo ni swali gumu kulijibu kwa sasa,” alisema Wenger.
No comments:
Post a Comment