• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 19 January 2018

    MTANDAO MPYA UNAOTARAJIWA KULETA MABADILIKO NCHINI

    Dei Group International Ltd imezindua mtandao wa kijamii utakaokuwa unatoa taarifa mbalimbali kuhusiana Na mambo ya kiutalii ili kukuza Na kuilinda sekta ya Utalii.


    Mtandao huo utakaofahamika Deiplaces Tanzania utakua ukitoa taarifa mbali mbali za Utalii ili kuongeza watalii wa ndani Na nje ya nchi kwani kupitia mtandao huo watu mbali mbali wataweza kuona maeneo ya kitalii yaliyopo sehemu tofauti tofauti Na hatimaye kutembelea.

    Haya yamesemwa  na mkurugenzi wa masoko wa Deiplace Dr.Paul Bamutaze ambapo ameondeza kwa kusema kuwa mtandao huu utatoa fursa kwa waandishi wa habari kupata habari mbali mbali za kiutalii hivyo amewataka watanzania kuungamkono masuala yote ya kitalii.

    Aidha Dr.Bamutaze ameongeza kwa kusema wameamua kuiunga mkono Tanzania katika suala Utalii kwakuwa serikali ya imeamua kujikita katika sekta ya Utalii k
    kwakuwa imechangia kukua kwa pato 12.9%kwa takwimu hiyo inaonesha ni jinsi gani inavofanya vizuri na wanaimani ikiungwa mkono kwa kuitangaza zaidi wanaamini pato la Taifa la Tanzania litaongezeka maradufu.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI