• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 15 January 2018

    Ulinzi kuimarishwa mipakani

    Na Apolonia Kisite
    Jeshi la polisi nchini limewataka wahalifu wote waachane na dhana ya uhalifu kwani atakayebaika hatasalimika.
    Amesema hayo IGP Simon Sirro leo wakati wakisaini mkataba wa makubaliano wa kufanya kazi kwa kushirikiana kwa lengo la kutokomeza uhalifu ila kuhakikisha raia wa msumbiji na Tanzania wako salama.
    Pia amesema wahalifu wote wanaoendelea kufanya vitendo vya kiuhalifu waache mara moja kwani wanaweka maisha yao hatarini pindi jeshi litakapowashika.
    Kwa upande wa IGP wa Msumbiji Bernadino Raphael amesema makubaliano hayo ya kupambana na jeshi uhalifu kati ya hizi nchi mbili itasaidia watu kuishi kwa amani na wanategemea kuzidi kuimarisha ulinzi zaidi kwenye mipaka ya nchi hizi mbili ili waweze kuwakamata kiurahisi wahalifu wanaotenda makosa na kukimbilia nchi jirani.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI