Mkurugenzi wa Sera na Mipango
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Bi.
Elizabeth Tagora akifungua rasmi kikao cha ushirikiano na uboreshaji
masuala ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kati ya Serikali yaJ
amhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo
jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango
Wizara yaUjenzi, Uchukuzi na Usafirishaji Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar, Bw. Khatib Mohamed akifafanua jambo katika kikao cha
ushirikiano na uboreshaji masuala ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leoj ijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi wa Barabara
Kuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng.
Light Chobya akielezea majukumu ya idara hiyo katika kikao cha
ushirikiano na uboreshaji masuala ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha
ushirikiano na uboreshaji masuala ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia mjadala
kuhusu uboreshaji wa sekta hiyo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Msajili wa Bodi ya Wahandisi
Tanzania (ERB), Eng. Patrick Barozi akiwasilisha madaku husu utendaji
wa Bodi hiyo katika kikao cha ushirikiano na uboreshaji masuala ya sekta
yaUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo jijini Dar es
Salaam.
Wajumbe wa kikaocha ushirikiano na
uboreshaji masuala ya sekta yaUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kati ya
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa
kikao hicho kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment