• Breaking News

    ..

    ..

    Monday 28 May 2018

    Serikali ya Mkoa Yaendelea na Mkakati Wa Kuokoa Maisha Ya Wasichana


    Mkuu wa wilaya ya Temeke Felix Lyaniva amewataka wazazi kuwalea watoto katika maadili na mazingira bora ili kupunguza ngono katika umri mdogo.

    Ameyaseam hayo katika kikao cha kakati ya Afya ngazi msingi  Mkoa unaohusu chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi umefunguliwa rasmi katika jiji la Dar es salaam amabapo.alimualikisha Mkuu Wa Mkoa PaulMakonda

    Hata hivyo Mkuu Wa Wilaya Mabae ni Kaimu Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Aliendelea kusisitiza juu  
    Wazazi/Walezi, wahakikishe kuwa watoto ambao wamefikisha umri wa miaka 14 wanaenda katika vituo vya kutolea huduma za chanjo ikiwemo vituo vya Afya, shule na baadhi ya maeneo katika jamii yaliyopangwa kutumika kwa huduma ya utoaji wa chanjo kama huduma ya mkoba (out rech servce

    Pia Aliomba Ushrikiano wa wadau na wananchi wote kwa ujumla ili tuweze kufikia lengo letu la kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na afya bora
    Naomba nihitimishe kwa kuwahakikishia wananchi kuwa chanjo zinazotolewa katika vituo vyetu ni salama, hutolewa na wataalamu wenye uzoefu mkubwa waliobobea katika fani hii kwa muda mrefu.





    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI